Tetesi: Majibu ya scholarship za China

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
702
Reaction score
759
Wadau habarini za jioni.

Ndugu zangu naombeni tupeane update kwa waliomba maombi ya scholarship za china kama majibu wameanza kupata .

Natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Wadau habarini za jioni.

Ndugu zangu naombeni tupeane update kwa waliomba maombi ya scholarship za china kama majibu wameanza kupata .

Natanguliza shukrani zangu za dhati
Hata mimi nasubiria majibu ya mofcom scholarship
 
First degree tamu ukianzia nyumbani then Second + huko ndio poa kwenda abroad.
Ndio maana nchi za afrika haziendelei.
 
Wadau habarini za jioni.

Ndugu zangu naombeni tupeane update kwa waliomba maombi ya scholarship za china kama majibu wameanza kupata .

Natanguliza shukrani zangu za dhati
Majibu yatakuwa "mabovu" tu ndugu "kibovu"
 
First degree tamu ukianzia nyumbani then Second + huko ndio poa kwenda abroad.
Ndio maana nchi za afrika haziendelei.
Hahaha kusomea Nyumbani ndio maana hatuendelei, tunadanganyana tu na kupeana sifa za kijinga, siku ukienda kushindana na wenye akili unabaki una ng'aa macho. Elimu sisi tuliletewa tu kama vitu vingine vingi, hivyo ni bora ukiifuata huko kisimani ilikoanzia, kuanzia first grade/Standard one hadi PhD.
Hizi zetu za kuunga unga ndio maana haTa kuandika thesis hatuwezi, kuandika paper na ku publish kwenye journal zenye akili hatuwezi. Tunabaki kukimbizana na mavyeti meengi wakati hatujui lolote/hatujaelimika.
Acha wakasomee huko huko. Badala ya kuajiri ma engineer wa kichina tutakuwa nao wetu waliosoma engineering china.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…