JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Watu wa hip hop huwa hawakui, sijui kwanini?!!!! Ni matusi tu hadi uzeeni. Eminem, dmx (r.i.p dog!), John makini, Wayne, dre n.k
Mbona hakuna tusi hapo brotherWatu wa hip hop huwa hawakui, sijui kwanini?!!!! Ni matusi tu hadi uzeeni. Eminem, dmx (r.i.p dog!), John makini, Wayne, dre n.k
Mimba ni tusi?Watu wa hip hop huwa hawakui, sijui kwanini?!!!! Ni matusi tu hadi uzeeni. Eminem, dmx (r.i.p dog!), John makini, Wayne, dre n.k
Wewe sio muhuni ndiyomaana ni mbunge π€£huyu ni mhuni tu ndiyo maana ubunge kaukosa wamemzarau
mku umenichekesha sanaa kwa jinsi akili yako ilivyo ndogo. Inawezekanaje hadi mende kakuzidi akili?huyu ni mhuni tu ndiyo maana ubunge kaukosa wamemzarau
Kichwa chako kimejaa mavhuyu ni mhuni tu ndiyo maana ubunge kaukosa wamemzarau
umezisahau 50/50 au zipo kwenye utawala tuJaman anajibizanaje na demu mwanaume mzima?
50 huwa ananichekesha sana,yule jamaa ana misifa,kwake ana majiko mengi hadi mengine hajawahi kuyatumia, aliwahi kusema hivi "nilienda south france matajiri wa kule wakawa wanaulizana huyu nani kwa kujishaua,nikasema F@ck man,kama ni hela hata mimi ninayo"πWatu wa hip hop huwa hawakui, sijui kwanini?!!!! Ni matusi tu hadi uzeeni. Eminem, dmx (r.i.p dog!), John makini, Wayne, dre n.k
Haaaaa Haaaaa π jamani mbavu zangu mimi jamani. Umenichekesha hadi mbavu zinaumamku umenichekesha sanaa kwa jinsi akili yako ilivyo ndogo. Inawezekanaje hadi mende kakuzidi akili?
Ninachojiuliza inakuaje wazazi wako wanakuruhusu kushika simu.
Duu, kwahiyo we ndo msomi yaani?!!!! Kaaaazi kweli kweliKwa iyo mimba ni tusi ebu rudi shule kijana
Uliedharauliwa niwew hapo ndo maana Mpaka Sasa Uko kwa shemeji umetulia ukiwasema wanaume wenzio mtandaonihuyu ni mhuni tu ndiyo maana ubunge kaukosa wamemzarau
He!!!Uliedharauliwa niwew hapo ndo maana Mpaka Sasa Uko kwa shemeji umetulia ukiwasema wanaume wenzio mtandaoni
Wana mambo ya ajabu ajabu kweli!!!50 huwa ananichekesha sana,yule jamaa ana misifa,kwake ana majiko mengi hadi mengine hajawahi kuyatumia, aliwahi kusema hivi "nilienda south france matajiri wa kule wakawa wanaulizana huyu nani kwa kujishaua,nikasema F@ck man,kama ni hela hata mimi ninayo"π