Wadau Nadhani ni wengi hawajaridhika na majibu ya hii timu ya uchaguzi. Kuna mambo mengine hayahitaji uwe umesoma sheria ili uelewe kipengele cha sheria kina maaniasha nini?
La labda sielewe lugha kazi yake ni nini? maana kama naweza kusoma na kuandika kiswahili sinashaka hata maana ya sentensi ninazosoma na kuandika nazielewa na inaponilazimu kuzielewa kifasaha zaidi yanipasa niwe na kamusi.
Sasa hi sheria zinazokua na tafsiri tafauti na maandiko bora zingekuwa za kichina nisingekuwa na hoja.
Wakuu msaada rufaa hii timu iskishindwa kazi suluhu inapatika wapi??? Maana majukumu ya hii tiimu huko mbele ni mengi na tusipojua mipaka yake itakuwa hatari kubwa sana.
wadau nawakilisha.
La labda sielewe lugha kazi yake ni nini? maana kama naweza kusoma na kuandika kiswahili sinashaka hata maana ya sentensi ninazosoma na kuandika nazielewa na inaponilazimu kuzielewa kifasaha zaidi yanipasa niwe na kamusi.
Sasa hi sheria zinazokua na tafsiri tafauti na maandiko bora zingekuwa za kichina nisingekuwa na hoja.
Wakuu msaada rufaa hii timu iskishindwa kazi suluhu inapatika wapi??? Maana majukumu ya hii tiimu huko mbele ni mengi na tusipojua mipaka yake itakuwa hatari kubwa sana.
wadau nawakilisha.