Kwa majibu yanavyoonesha ni kama una shida kwenye blood circulation lakini picha pia inaonekana haileweki vizuri. Nakushauri ufanye CT Scan kuangalia blood flow yako kama iko sawa. Kama uko Dar nenda JKCI
Kwa majibu yanavyoonesha ni kama una shida kwenye blood circulation lakini picha pia inaonekana haileweki vizuri. Nakushauri ufanye CT Scan kuangalia blood flow yako kama iko sawa. Kama uko Dar nenda JKCI