GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Wakuu tulipanga kutoa dawa hii kwa watu 15, lakini mpaka sasa wamechukua watu 11 (kumi na mmoja) tu
Bado tunasubiri feedback kutoka kwa hawa watu wanne.
Ahsanteni.
- Watu wanne wamepiga simu na kushukuru kuwa dawa ni nzuri imewasaidia sana.
- Wawili wamesema bado hawajaanza kutumia
- mmoja amesema bado kidogo anaomba aongezewe dozi
- Wanne hatujapata majibu yao kabisa ingawa wengine tumejaribu kuwauliza.
Bado tunasubiri feedback kutoka kwa hawa watu wanne.
Ahsanteni.