Majibu ya Zitto baada ya kuulizwa na Mnyika, “I am a leader. Properly groomed. I desist from responding to you”

Alikuwa anapata makiki kwa kum-criticise Magu as for now he lost, hajielewi yuko wapi upinzani ama ccm
 
Usinge copy, ebu andika ya kwako tuone nawewe kiinglishi chako ni Cha ugoko au kimeenyooka!
What about this!!


Mnyika and Zitto are nicompoop and they both don't deserve the positions they are in. In fact no political party in Tanzania other than ccm which is so credible to to keep this ball rolling especially when it comes to political politics.
 
Hao waliopo CCM wasingeweza kabisaa, kama CCM isingekuwa na dola.

Hao ndo utopolo kabisaa!
 
Alafu CDM hawajui kulikuwa na vyama vya upinzani vikubwa leo vinapumulia mashine,endeeni kukariririsha,2025 inakuja.
 
Zitto ni dalali na mdini sn
 
Chama cha Zitto kimeunda serikali kivuli huko bungeni na mseto huko Zenji hivyo Zitto ndio kiongozi mkuu wa upinzani nchini.
Inawezekana vipi ukaunda serikali, halafu hapo hapo wewe ndiye ukawa Kiongozi mkuu wa upinzani...
 
Chama cha Zitto kimeunda serikali kivuli huko bungeni na mseto huko Zenji hivyo Zitto ndio kiongozi mkuu wa upinzani nchini.
...mkuu wa upinzani malaya nchini!
 
Alafu CDM hawajui kulikuwa na vyama vya upinzani vikubwa leo vinapumulia mashine,endeeni kukariririsha,2025 inakuja.
Kila chama kina misingi yake ya kuanzishwa kwake na misimamo yake.
 
Kwanini Zitto atumie nembo ya chama kingine bila kukishirikisha.

 
Akiwa nje ya chama hana madhara bora kushirikiana nae akiwa nje.
 
Zitto is too naive. Hii cheap language siyo ya leadership material. As long as ataendelea hivi, itakuwa vigumu mno kwake kuaminiwa na wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…