@kinondoni sweetheart mambo vp?Dula ndio anaandikaga hivo meseji
Mimi huwa nashindwa hata kujibu unakuta mtu anakusalimia ukiitikia "Niambie"Mi huwa nashindwa kuendelea pale umechat na mtu, halafu anakuambia 'niambie'... Huwa sijui nimuambie nini nakuta nimeanza kazi ingine tu
Unamsalimia Mtu vizuri kabisa unaanmwandikia
mimi : mambo
yeye: pπ‘π‘π‘
Aseee wananiboaga watu wa dizaini hiii ki ukweli natamani hata Namimi sku ingine badala ya kumwandikia mambo nimwandikie "M"
Au unachat na mtu vizuri ila kwenye sentensi zake unakuta anaandika vifupi vifupi vya ajabu na kunchanganyia herufi MFANO:
mimi: vipi sasa ile ishu mkuu?
yeye: xijaonn na yle m2,xma kexho ntamchkπ‘π‘π‘π‘
mimi : kwa hiyo tunafanyaje?
yeye : 2kutane pleple xema leo uxchleweπ‘π‘π‘π‘
Mijitu ya namna hiii ki ukweli inaniboaga mimi basi tu, na wale wengine wazeee wa kujua kuto value heshima wanayopewa,unaweza ukakuta unachat na mtu vizuri mwanzo mwisho,inaweza kuwa ni asubuhi/mchana/usiku,ila kwa mtu yeyote smart/anaejielewa anaechat na mtu lazima msg iwe na salamu,lengo,kuagana.
huwezi kuanza kuchat na mtu tu kisa una namba yake uende direct kwenye lengo,hiyo haileti picha nzuri lazima utamsalimia kidogo then story mbli tatu kisha lengo..na mwsho kuagana...Hapa kwenye kuagana yawezekana n Mchana unachat na mtu.
mimi : ndugu mambo vipi?
yeyeπoa tu mkuu,habari za huko?
mimi: huku sio mbaya,nilikua nakusalimia tu ndugu yangu.
yeye: k π‘π‘π‘π‘
mimi: mchana mwema na kazi njema bro!
yeye: kπ‘π‘π‘
Type hiyo ya WATU asee nikimalizaga kuchat nao Namba zao huwa nazi blacklist upande wa msg wawe wakitaka nitumia ujumbe nisione na mwisho huwa WANAPIGA wenyewe.
Dah...ni kweli wanaboa....ila chukulia kama ukumbushwaji kuwa umeanzaUnamsalimia Mtu vizuri kabisa unaanmwandikia
mimi : mambo
yeye: pπ‘π‘π‘
Aseee wananiboaga watu wa dizaini hiii ki ukweli natamani hata Namimi sku ingine badala ya kumwandikia mambo nimwandikie "M"
Au unachat na mtu vizuri ila kwenye sentensi zake unakuta anaandika vifupi vifupi vya ajabu na kunchanganyia herufi MFANO:
mimi: vipi sasa ile ishu mkuu?
yeye: xijaonn na yle m2,xma kexho ntamchkπ‘π‘π‘π‘
mimi : kwa hiyo tunafanyaje?
yeye : 2kutane pleple xema leo uxchleweπ‘π‘π‘π‘
Mijitu ya namna hiii ki ukweli inaniboaga mimi basi tu, na wale wengine wazeee wa kujua kuto value heshima wanayopewa,unaweza ukakuta unachat na mtu vizuri mwanzo mwisho,inaweza kuwa ni asubuhi/mchana/usiku,ila kwa mtu yeyote smart/anaejielewa anaechat na mtu lazima msg iwe na salamu,lengo,kuagana.
huwezi kuanza kuchat na mtu tu kisa una namba yake uende direct kwenye lengo,hiyo haileti picha nzuri lazima utamsalimia kidogo then story mbli tatu kisha lengo..na mwsho kuagana...Hapa kwenye kuagana yawezekana n Mchana unachat na mtu.
mimi : ndugu mambo vipi?
yeyeπoa tu mkuu,habari za huko?
mimi: huku sio mbaya,nilikua nakusalimia tu ndugu yangu.
yeye: k π‘π‘π‘π‘
mimi: mchana mwema na kazi njema bro!
yeye: kπ‘π‘π‘
Type hiyo ya WATU asee nikimalizaga kuchat nao Namba zao huwa nazi blacklist upande wa msg wawe wakitaka nitumia ujumbe nisione na mwisho huwa WANAPIGA wenyewe.
[emoji38] [emoji38]Sasa kama kwenye phonebook yako umejaza watoto unategemea nini.
kuna fundi wangu m1 wa umeme namkubali sana ki ukweli na ndio msg zake..ananiboaga hajui tuYaani tena bora iwe ni mwanamke lakini unakuta ni lijamaa linajibu. .xant,2ta,pw.pa1..
Mapimbi kama hawa ata kama namdai siwezi kuendelea kuchat nae maana ni kichefuchefu!
Ungesoma stylistics and communication in english language usingepata shida.Unamsalimia Mtu vizuri kabisa unaanmwandikia
mimi : mambo
yeye: pπ‘π‘π‘
Aseee wananiboaga watu wa dizaini hiii ki ukweli natamani hata Namimi sku ingine badala ya kumwandikia mambo nimwandikie "M"
Au unachat na mtu vizuri ila kwenye sentensi zake unakuta anaandika vifupi vifupi vya ajabu na kunchanganyia herufi MFANO:
mimi: vipi sasa ile ishu mkuu?
yeye: xijaonn na yle m2,xma kexho ntamchkπ‘π‘π‘π‘
mimi : kwa hiyo tunafanyaje?
yeye : 2kutane pleple xema leo uxchleweπ‘π‘π‘π‘
Mijitu ya namna hiii ki ukweli inaniboaga mimi basi tu, na wale wengine wazeee wa kujua kuto value heshima wanayopewa,unaweza ukakuta unachat na mtu vizuri mwanzo mwisho,inaweza kuwa ni asubuhi/mchana/usiku,ila kwa mtu yeyote smart/anaejielewa anaechat na mtu lazima msg iwe na salamu,lengo,kuagana.
huwezi kuanza kuchat na mtu tu kisa una namba yake uende direct kwenye lengo,hiyo haileti picha nzuri lazima utamsalimia kidogo then story mbli tatu kisha lengo..na mwsho kuagana...Hapa kwenye kuagana yawezekana n Mchana unachat na mtu.
mimi : ndugu mambo vipi?
yeyeπoa tu mkuu,habari za huko?
mimi: huku sio mbaya,nilikua nakusalimia tu ndugu yangu.
yeye: k π‘π‘π‘π‘
mimi: mchana mwema na kazi njema bro!
yeye: kπ‘π‘π‘
Type hiyo ya WATU asee nikimalizaga kuchat nao Namba zao huwa nazi blacklist upande wa msg wawe wakitaka nitumia ujumbe nisione na mwisho huwa WANAPIGA wenyewe.
Picha?Hizo salam Sio tatizo shida inakuja anapo tumia mwanaume hizo salamu inawezekana no marinda
Anayo sir Hilton john mpigie simuPicha?
KP nna ixhu 1 km vp tulixongexhe pm
P naquja xaxa hvP nna ixhu 1 km vp tulixongexhe pm