Majibu yanayoniboa ninapochat na mtu kwenye simu

Ukiwa muelewa vitu vidofo kama hivyo haviwezi kukupa shida kwenye maisha yako.

Unauhakika gani kama wewe upo sahihi kwa huo uandishi.

Na ukiona mtu amekujibu hivyo inatakiwa ujichunguze wewe mwenyewe kwanza
Wewe utakuwa mmoja wao
 
mimi : niaje mkuu?

yeye : Fuleshi 2 😑 😑
 
Ukiwa muelewa vitu vidofo kama hivyo haviwezi kukupa shida kwenye maisha yako.

Unauhakika gani kama wewe upo sahihi kwa huo uandishi.

Na ukiona mtu amekujibu hivyo inatakiwa ujichunguze wewe mwenyewe kwanza
Ni kwel mwana ccm nakubaliana na ww.
Kwanza wasikuoe shida lakin lililokubwa zaid ninhiyo point yako ya pil.moaka mtu aanze kuchat na ww hivyo then kuna shuda.hakuna kiazi kimewah kuniandikia huo utumbo..i guese ninkwa vile mm nilivyo na wanavyonijua.siendekez huo ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…