Dangote the advocate
Senior Member
- Sep 21, 2014
- 136
- 154
- Thread starter
-
- #21
Hoja yangu ni kwamba kitu gan kinasabisha watu wa mkoa huu wawe hiviHoja yako ni nini, mbona umeandika umbea tu?
Waambie dadakeMbona unatusingizia asee jombaa?
Unapoteza muda mkuu, huyu siku zote hujibu utumbo, hajielewi ni jitu la ovyo sanaMKUU HUJUI KUJENGA HOJA... UKO TOO PERSONAL ZAIDI...jaribu kukaa na kufikiria namna ya kutengeneza hoja yenye mashiko kuliko kuja na hoja za kitoto eti ugoro na kuoza meno kitu ambacho ni 'nonsense', kwa anaejielewa hawezi kuongea utumbo huu
ahhhhaaahahahahahahah 😀😀......... wapige kimya au nini arifuWanalalmika nini hao wa kula chips na maembe mabichi kwa chumvi.
Nenda jukwaa la habari mchanganyiko uone kwenye thread ya ARUSHA HALISI ILIVYO NA WATU WAKE.Utajua...Katika pitapita zangu yaani sekondari na chuo nimekuja kugundua vijana wa arusha ni watu wa maringo sana na dharau nataka kujua wadau hili linasababishwa na nin
you bow down to no one except for moneyHahaha. Ni hisia zake zimechanganyika na kutojiamini.
Cats born and raised in Arusha are cool with anything or anybody that's authentic. We're proud of where we come from, therefore we bow down to no one.
you bow down to no one except for money
huo ni utafiti?Hoja yangu ni kwamba kitu gan kinasabisha watu wa mkoa huu wawe hivi
[emoji12] [emoji12]bangeee inawapelekesha