Majiji mengine yote yakiungana yanaweza kuifikia Dar angalau ile ya miaka 20 iliyopita ?

Majiji mengine yote yakiungana yanaweza kuifikia Dar angalau ile ya miaka 20 iliyopita ?

-Hotels
-Makazi
-Starehe
-Elimu
-super markets
-n.k
Kulingana na experience yangu Arusha kuna vibe la jiji sana kwa kuzingatia yote ulioweka hapo juu...kitu pekee kinaitofautisha na Dar ni kwamba Dar ni kubwa kimaendeleo by far kutokana na uwepo wa nguvu kubwa ya serikali na hq za makampuni binafsi nk
 
Back
Top Bottom