Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Great thinkers hao... ukiwakoromea unaliwa ban...-Hotels
-Makazi
-Starehe
-Elimu
Husika na maanda mkuu, pia sio kila sehemu dar ni chafuJiji la Dar hilihili ambalo ni uchafu kila mahali!
Nilitamani ufike johanesburg kitongoni cha doorfontein, uone ilivyo chafu, , halafu uje na summary kuwa johanesburg yote ni chafu.Jiji la Dar hilihili ambalo ni uchafu kila mahali!
Kulingana na experience yangu Arusha kuna vibe la jiji sana kwa kuzingatia yote ulioweka hapo juu...kitu pekee kinaitofautisha na Dar ni kwamba Dar ni kubwa kimaendeleo by far kutokana na uwepo wa nguvu kubwa ya serikali na hq za makampuni binafsi nk-Hotels
-Makazi
-Starehe
-Elimu
-super markets
-n.k