Majimaji ukeni, wakati wa tendo hadi nalowa duh!

Kisiya Jr.

Senior Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
102
Reaction score
29
Wajameni mwenzenu huyu mama enu mdogo kusema kweli nampenda sana,wakati tulipokua tunaanza mwaka jana mwezi kama huu nilikua natamani mda wote nile raha tu.
Ila ana tatizo la kutoa majimaji ya daah... Kwa uzoefu wangu unapozidi kula tunda hasa kama umevaa helimeti maji yanakauka haraka sana. Lakini hapa ni tofauti,unapozidi kula ndo hayakauki hadi mwisho

Naombeni ushauri na msaada hasa akina mama mnipe uzoefu wenu,maana karibia nafanya maamuzi magumu hali ikiendelea kuwa tete.
 
Ufanye maamuzi magumu amekucheat? Kasoro za kimaumbile ndio zikufanye umwache? Hujui huo ni unyanyasaji? Tafuta suluhisho!
 
Ufanye maamuzi magumu amekucheat? Kasoro za kimaumbile ndio zikufanye umwache? Hujui huo ni unyanyasaji? Tafuta suluhisho!

Si ndio anaomba hapa!

Mwaya, mimi sijui; ningekusaidia!
 
Wanaume bwana ikiwa kavu shida,ikiwa majimaji shida!mkuu maji unatakiwa uyakaushe wewe kwa mipigo
 
chukua muda mrefu ktk maandaliz yake
 

Taulo~ ni kifaa au aina ya nguo itumikayo kukausha maji mwilini.Ndugu tumia iyo kitu kukabiliana na tatizo lako.
Nakutakia utekelezaji mwema.
 
shukuru mungu
 
hapo huwezi pata ngwengwe mkuu.kavu ni rahisi kuchubuka
 

piga katerero mkuu utayapenda hayo maji yasikauke!!
 
Nanini ka kwambia maambukizi yanatokea mpaka pawe na michubuko?
.hayo maji ya uke yanabeba v.v.u
.ute wa uume nao unabeba v.v.u
.Damu
.Maziwa ya mama


hapo huwezi pata ngwengwe mkuu.kavu ni rahisi kuchubuka
 
mkuu hii maada ilishajadiliwa. nenda jukwaa la kikubwa utaikuta. mia
 

kamua karibu yote kwanza wakati wa foreplay!!! Halafu unakaribia kupata ukimwi kwa huo mchezo wa kuwa na partners wengi!!!!
 
Mwenye maji mengi hata ukitumia condom ni kujisumbua tu kama unatoka umelowa hadi kwenye stomach.
Piga chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…