Majimbo 12 ya uchaguzi yaigeuza ndoa ya ukawa kuwa shubiri

Majimbo 12 ya uchaguzi yaigeuza ndoa ya ukawa kuwa shubiri

Kinjekitile junior

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
4,404
Reaction score
581
image.jpg image.jpg
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha jana kupitia ITV kwenye taarifa ya HABARI YA SAA 2 Usiku mmoja wa viongozi wa UKAWA aliweka wazi kuwa ndani ya UKAWA kuna mgongano wa kimasilahi kwenyenmajimbo ya uchaguzi 12 hali iliyowafanya kushindwa kuafikiana juu ya hatima yao kuelekea kwenye uchaguzi mkuu!

UKAWA wamekuwa mstari wa mbele sana kushambulia madhaifu ya upande mwingine hasa wa Serikali na kusahau kabisa ndoa yao waliyoifunga mwaka jana ambayo iko rehani kwa sasa kwa sababu tu ya kushindwa kuafikiana kwenye majimbo 12 sijui nini kinawafanya wasikubaliane!

Kwa kuendelea kuendekeza ubinafsi na tamaa ya madaraka waliyo nayo naanza kupata wasiwasi kama wanatutetea vyema kwenye masuala serious ya nchi, kama la mgawanyo wa ubunge linawatoa jasho je la Mgombea Urais litakuaje?? hili ni tatizo na wanatupeleka babaya kuanza kuhoji uhalali wa ndoa yao wakiwa mbele ya Tv na Camera wanaonekana wanapendana sana wakijua tunawatazama wakiwa nje ni sheedah kila mmoja anavutia kwake! je kweli hawa wanawatetea wananchi au wanamalengo mengi? Na je hi ndoa yao yenye mgogoro wa majimbo itakapofika zamu ya kumpata mgombea mmoja wa urais itakuaje???
 
Mkuu ukikuwa utagundua kuwa 'ndoa' zina matatizo mengi zaidi ya hayo. Uvumilivu na busara ndio muhimu.
 
Mkuu ukikuwa utagundua kuwa 'ndoa' zina matatizo mengi zaidi ya hayo. Uvumilivu na busara ndio muhimu.

Mi wanachonishangaza wanaishia kusema tu matatizo madogo tu tutayamaliza?watayamaliza vipi wakati muda unakwenda?
 
Mi wanachonishangaza wanaishia kusema tu matatizo madogo tu tutayamaliza?watayamaliza vipi wakati muda unakwenda?

Ukawa sio vichwa vya panzi kama wale wengine, Hawa ni wazee wa strategies, na wale upande mwingine ni wazee wa kukulupukazi!! ndio maana walisema kura ya maoni ni 30/4 iko wapi? na yule mzee wa watu jaji ameingia kwenye kundi hili, hadi unamuonea huruma!! unajua ukikubali kuwa na akili za kushikiwa ujue PR, yako iko rehani tena unapokutana na vichwa kama Mbowe na mbatia!! sasa amekuwa ni mzee wa kukanusha tu bila kutoa facts!! hadi huruma, hayo majimbo 12,ni machache sana, we tulia tu, dawa iingie. ulishawahi kuona tenki la maji lenye ujazo kama wa lita 100,000/linapasuka,? kinachotokea hapo ndicho siku ukawa watakapotangaza wagombea wao wa ubunge, itakuwa ni mwache mwache!!!
 
Ukawa sio vichwa vya panzi kama wale wengine, Hawa ni wazee wa strategies, na wale upande mwingine ni wazee wa kukulupukazi!! ndio maana walisema kura ya maoni ni 30/4 iko wapi? na yule mzee wa watu jaji ameingia kwenye kundi hili, hadi unamuonea huruma!! unajua ukikubali kuwa na akili za kushikiwa ujue PR, yako iko rehani tena unapokutana na vichwa kama Mbowe na mbatia!! sasa amekuwa ni mzee wa kukanusha tu bila kutoa facts!! hadi huruma, hayo majimbo 12,ni machache sana, we tulia tu, dawa iingie. ulishawahi kuona tenki la maji lenye ujazo kama wa lita 100,000/linapasuka,? kinachotokea hapo ndicho siku ukawa watakapotangaza wagombea wao wa ubunge, itakuwa ni mwache mwache!!!
Mchango wako ni sawa na avatar yako!its the reflection of what you think,tunataka tofauti ziondoke watuambie hata kesho majimbo ya ubunge tu mgogoro siku ya urais watatoana ngeu na patachimbika maana shetani la uroho wa madaraka bado linawatesa!
 
Ukawa sio vichwa vya panzi kama wale wengine, Hawa ni wazee wa strategies, na wale upande mwingine ni wazee wa kukulupukazi!! ndio maana walisema kura ya maoni ni 30/4 iko wapi? na yule mzee wa watu jaji ameingia kwenye kundi hili, hadi unamuonea huruma!! unajua ukikubali kuwa na akili za kushikiwa ujue PR, yako iko rehani tena unapokutana na vichwa kama Mbowe na mbatia!! sasa amekuwa ni mzee wa kukanusha tu bila kutoa facts!! hadi huruma, hayo majimbo 12,ni machache sana, we tulia tu, dawa iingie. ulishawahi kuona tenki la maji lenye ujazo kama wa lita 100,000/linapasuka,? kinachotokea hapo ndicho siku ukawa watakapotangaza wagombea wao wa ubunge, itakuwa ni mwache mwache!!!
Wamekurupuka kuunda umoja, mambo yamewashinda kiasi kwamba sasahv wanaanza kugombea majimbo na vyeo, ndoa yao iko taabani na siku yaja watavunjika kama glass pwaaaaaah, hahaha haraka haraka haina baraka ndo hiyo inayowatokea sasa hao Ukawa, ukawa yenyewe imejaa mijitu yenye uchu wa madaraka akina Mbowe na Slaa plus Mbatia, kamwe hawatafanikiwa maana wanatangatanga tu kila kukicha.
 
NIMEFUATILIA MAJIMBO TATA YANAYOWATOA ROHO UKAWA ni-1. Segerea 2 Temeke 3 Ukonga 4 Ilala 5Ilala 6.Kinondoni 7.Kigamboni 8. Serengeti 9.Mafia 10.Morogoro mjini 11.Kilosa 12.Mtwara mjini 13.Vunjo ambalo kaachiwa Mbatia akapambane na Mrema. Ila why majibo mengi ya Dar !!!mwenye data zaidi atujuze!!
 
Back
Top Bottom