Majimbo 19 ya Marekani yamshtaki Trump kumpatia Ellon Musk nyara za serikali

Majimbo 19 ya Marekani yamshtaki Trump kumpatia Ellon Musk nyara za serikali

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Majimbo yameanza mchakatao wa kumshtaki raisi Trump kutokana na utitiri wa amri za kiraisi ambazo amezitoa tangu arudi madarakani.

iiliyoyaudhi majimbo hayo ni uamuzi wake wa kumpatia bilionea na mshirika wake,Ellon Musk funguo za kufikia malipo ya wafanyakazi wote katika serikali ya Marekani.

Shirika la Ellon Musk lijulikanalo kama DOGE limepewa na Trump jukumu la kupitia kuangalia mwenendo wa malipo na kupunguza bajeti za serikali yake.

19 states sue Trump, Treasury to halt DOGE access

 
20250203_113153.jpg
 
Majimbo yameanza mchakatao wa kumshtaki raisi Trump kutokana na utitiri wa amri za kiraisi ambazo amezitoa tangu arudi madarakani.
iiliyoyaudhi majimbo hayo ni uamuzi wake wa kumpatia bilionea na mshirika wake,Ellon Musk funguo za kufikia malipo ya wafanyakazi wote katika serikali ya Marekani.
Shirika la Ellon Musk lijulikanalo kama DOGE limepewa na Trump jukumu la kupitia kuangalia mwenendo wa malipo na kupunguza bajeti za serikali yake.

19 states sue Trump, Treasury to halt DOGE access

Mchuma janga hula na wa kwao
 
Huyu Trump kutoboa miaka minne uongozini ni bahati.
 
Back
Top Bottom