Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;
1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.
Mnakaribishwa kuongezea.....
atakuwa anaimanisha Ubunge mfano Shy mjini eti CCM wameshinda kwa kura moja na msimamizi hajulikani alipo mpaka sasa kwani kabla ya kutanga matokeo ya CCM kushinda alisha tangaza kuwa Chadema wameshinda gafla akabadili..Kwa hiyo una maana kuwa kura za hayo majimbo uliyoyataja zingeenda kwa slaa angeshinda? Au unaongelea kura za ubunge?
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;
1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.Geita
11.Kibaha mjini
12....
Mnakaribishwa kuongezea.....
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;
1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.Geita
11.Kibaha mjini
12....
Mnakaribishwa kuongezea.....
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;
1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.Geita
11.Kibaha mjini
12....
Mnakaribishwa kuongezea.....
POINT TAKEN!!!😎zile zilikuwa ni kelele za wavuta bangi, kawaambie mama zako wajaribu kuanzia kesho, hali itakuwa tofauti na wakati wa tulikuwa tupo kwenye uchaguzi.
ndio wavuta bangi, mtu mwenye akili kama zako utasema nani,si bora hao uliowataja kuliko...Rais Slaa( daktari wa dini), makamu rais mzee said( darasa la saba), waziri mkuu Mbowe (mwehu , mmiliki wa madanguro), SUGU waziri ( mvuta bangi, Chizi, muuza unga), Lema (mwizi, jambazi, haramia, mwehu)