No comment nahisi ntajishushia credibility manake muendako siko jamani
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;
1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
Kiukweli suala hili ni muhimu kufanyiwa kazi ili next time mambo yasiwe ivi..