jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Wataalamu wanaamini kuwa kuna majimbo machache tu ambayo yanaweza kumuwezesha mgombea wa Democratic Kamala au mpinzani wake wa Republican, Donald Trump kushinda uchaguzi mkuu wa Marekani hapo November.
Sita kati ya majimbo hayo-Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, Pennsylvania na Wisconsin - wagombea hao wanaonekana kuwa kwenye mchuano mkali, na pengine yanashikilia ufunguo wa nani ataingia Ikulu ya Marekani.
Hadi usawa huu mchuano ni mkali baina ya wagombea hao wawili.
Na hii ni kwa mujibu wa Foxnews ambao ni chombo cha habari kinachomsapoti Trump na Repunlicans kwa ujumla.
Kwa mujibu wa Fox News, Harris na Trump wamefungana katika majimbo mawili (Michigan na Pennsylvania),
Trump yuko mbele kwa pointi 1 huko Wisconsin, na Harris yuko juu kwa 6 huko Minnesota.
www.foxnews.com
Utafiti mpya unaonyesha kuwa Rais wa zamani Trump na Makamu wa Rais Kamala Harris wamelingana, licha ya rais huyo wa zamani kuongoza kwa karibu tarakimu mbili kipindi Biden akiwa mgombea.
Utafiti wa Detroit News WDIV-TV, uliofanywa baada ya Rais Biden kujiondoa katika kinyang'anyiro cha 2024, uligundua kuwa Trump na Harris wanalingana kwenye uungwaji mkono wa 41% huko Michigan, wakati 6% ya wapiga kura wa Michigan bado hawajaamua.
Matokeo ya kura yanaonyesha mabadiliko makubwa ya uungwaji mkono tangu uchunguzi wa Januari uliofichua kuwa Trump alikuwa akiongoza dhidi ya Biden katika jimbo hilo kwa alama 8.
www.foxnews.com
Sita kati ya majimbo hayo-Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, Pennsylvania na Wisconsin - wagombea hao wanaonekana kuwa kwenye mchuano mkali, na pengine yanashikilia ufunguo wa nani ataingia Ikulu ya Marekani.
Hadi usawa huu mchuano ni mkali baina ya wagombea hao wawili.
Na hii ni kwa mujibu wa Foxnews ambao ni chombo cha habari kinachomsapoti Trump na Repunlicans kwa ujumla.
Kwa mujibu wa Fox News, Harris na Trump wamefungana katika majimbo mawili (Michigan na Pennsylvania),
Trump yuko mbele kwa pointi 1 huko Wisconsin, na Harris yuko juu kwa 6 huko Minnesota.
Fox News Poll: Close races in battleground states show voters locked in
Swing state polls show tightening between Trump and Harris after Biden dropped out and the vice president has become the presumed Democratic nominee.
Utafiti mpya unaonyesha kuwa Rais wa zamani Trump na Makamu wa Rais Kamala Harris wamelingana, licha ya rais huyo wa zamani kuongoza kwa karibu tarakimu mbili kipindi Biden akiwa mgombea.
Utafiti wa Detroit News WDIV-TV, uliofanywa baada ya Rais Biden kujiondoa katika kinyang'anyiro cha 2024, uligundua kuwa Trump na Harris wanalingana kwenye uungwaji mkono wa 41% huko Michigan, wakati 6% ya wapiga kura wa Michigan bado hawajaamua.
Matokeo ya kura yanaonyesha mabadiliko makubwa ya uungwaji mkono tangu uchunguzi wa Januari uliofichua kuwa Trump alikuwa akiongoza dhidi ya Biden katika jimbo hilo kwa alama 8.
New poll shows Trump, Harris tied in key battleground state: 'Close as close can be'
Former President Trump and likely Democratic nominee Vice President Harris are tied in Michigan, according to a new poll conducted after President Biden dropped out of the race.