:Serikali ya China imetoa Scholarship kwa serikali ya Tanzania kwa watu 10 kwenda kusoma masuala ya Oil na Gesi, Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imewateuwa watu kumi majina yao kama yafuatayo hapa chuni.
1) Erasma Rutachura - PhD
2) Abel Masanja - Msc
3) Beatrice Tubuke - Msc
4) Faustine Matiku - Msc
5) Alvin Mulashana - Msc
6) Kunugula Lwakutubi - Msc
7) Nigel Kimalo - Msc
8) Ansila Kiusa - Msc
9) Hebert Msangi - Msc
10) Victor Mangula - Msc
Hivi serikali siku zote huwa wanatumia utaratibu gani kwenye kuteuwa watu kwenda kusoma nje wanapopewa hizi Scholarship, maana kwenye hawa watanzania walioteuliwa ndugu zetu wa muungano kutoka Zanzibar hakuna hata mmoja.
1) Erasma Rutachura - PhD
2) Abel Masanja - Msc
3) Beatrice Tubuke - Msc
4) Faustine Matiku - Msc
5) Alvin Mulashana - Msc
6) Kunugula Lwakutubi - Msc
7) Nigel Kimalo - Msc
8) Ansila Kiusa - Msc
9) Hebert Msangi - Msc
10) Victor Mangula - Msc
Hivi serikali siku zote huwa wanatumia utaratibu gani kwenye kuteuwa watu kwenda kusoma nje wanapopewa hizi Scholarship, maana kwenye hawa watanzania walioteuliwa ndugu zetu wa muungano kutoka Zanzibar hakuna hata mmoja.