Kwa wale walimu wote waliokuwa wanasubiria ajira mpya 2013/2014 tayari majina yako kwenye web ya TAMISEMI.Kajiachie mwenyewe uangalie mkoa na wilaya ulikopangwa kufanya kazi.
Samahani tena kwa usumbufu, naomba kupata mawasiliano na walimu wafuatao:
1.WILLIAM JOHN ( TEKU) kutoka Mbeya ambaye amepangwa Kagera,
Bukoba mjini
2.TUNTUFYE KAPONERA (TEKU) kutoka Mbeya ambaye amepangwa mkoa wa Kagera,
Bukoba mjini.
3.JUMANNE SEIF (TEKU) kutoka Mbeya ambaye amepangwa mkoa wa Kagera ,
Bukoba mjini.
4.BOAZI LUSEKELO (SAUT) kutoka Mbeya aabaye amepangwa mkoa wa Kagera ,
Bukoba mjini.
5.ANDREW AMON (RUCO) kutoka Mbeya ambaye amepangwa mkoa wa Kagera ,
Bukoba mjhini.
6.REHEMA MWAKANGAL(AMUCTA) kutoka Mbeya amepangwa Kagera,
Bukoba mjini.
Tafadhali kwa mwenye kuwa na mawasiliano yao au wao wenyewe tuwasiliane kwa simu namba
0756082356 au
0786088394 kwenye facebook ya
JOSPIDE MAJABA,, e-mail:
majabajospide@gmail.com.
Mimi ni MWALIMU JOSPIDE MAJABA , Ahsanteni sana wapendwa na natumai mtanisaidia mawasiiano ni kwa nia njema sana