Majina Asilia

pierreseven

Member
Joined
Jun 24, 2022
Posts
6
Reaction score
9
Habarini za mwaka mpya wa serikali bandugu ba JF....

Hivi ukiachana na jina Lako unalotumia kwa social media au jina lako lingine la kizungu au kiarabu... Ni jina gani ulionalo la KIASILI ambalo unajivunia kuitwa ....

Ukiachana na Peter Mimi naitwa MTONDA..... wewe jina gan la asili unajivunia kuwa nalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…