Majina feki ya wasichana wa Dar

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,610
Wasichana wengi wa Dar wanatumia majina feki na hasa wakiwa Mlimani City au beach hata Wanyakyusa wanaoitwa kina Atupakisye hutumia majina yafuatayo:

1. Lisa
2. Doreen
3. Princilla
4. Candy
5. Noreen
6. Caroline
7. Brenda
8. Munilla
9. Irene
10. Jaquiline


Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
 
Munilla... majina mengine yanakushawish tu utende dhambi dah
 
Watoto wakali wenye majina makali...akikutamkia jina lake kwa lafudhi ya kizungu tu kitu kinaanza kusimama taaaratibu...Hatari sana hii sheikh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…