Majina kwa waliofanikiwa kupata uhamisho kidato cha tano kwa njia ya wizara

mropper imran

Member
Joined
Oct 10, 2014
Posts
7
Reaction score
0
anayefahamu namna ya kuangalia majina ya kidato cha tano kwa walioomba uhamisho wa juu kwa juu ( kwa njia ya wizara)
 
da hata mm niliomba uhamisho lakin cjui hata inakuwaje, kwani wamesha toa majina ya walio omba??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…