Hai mndughu wangu, mi ni Mkwavi wa kula MESERANI ya Same, niteehia uko Kilomeni havo cacicoAlafu wee Mtambuzi uneoka wa Vughweno ambu wala sikuelewaaa yaani wavoka duu madhinaaa aa henyu nkokuti hata Mmbaga na Kittuma wawaivaaa kana ?
Wathekijwa ni kini mbora wedi.....?
Mi ni milembe bin Masanja!!!!!!!
Acha Uzushi wewe Mwana Mpotevu kwanza sijui ulishadedi... Hakuna Mpare aitwae Maghembe huyo atakuwa kapewa jina hilo na Babu wa Mama yake Msukuma au Muikizu..mjema, maghembe, mshana, mbuji...nk nk nk
Umetaja Mengi but sio maarufu kivile kwani familia au koo zenye Watu wengi ndio hutoa Majina maarufu kwani uzao hutumia Sir name... Kama Kina Mbwambo ni Wengi sana ila hujawataja... Nadhani wewe sio Mpare labda ulisoma maeneo yao kidogo so umechukua Sir name za Uliosoma nao tu na sijui ulikuwa Kiranja...Majina 25 maarufu ya Wapare ya KIUME:
1. Kirimbo
2. Mrisha
3. Kilango,
4. Kitururu,
5. Mkodo,
6. Mshigheni,
7. Mfinanga,
8. Marimbocho,
9. Kimashi,
10. Mkundi
11. Kibacha
12. Sengasu
13. Mshitu
14. Sekiete
15. Kajiru
16. Kajivo,
17. Masanzua
18. Kiondo- Jina hili lipo kwa Wasambaa pia
19. Msechu - Jina hili lipo kwa wachaga pia
20. Minja - Jina hili lipo kwa Wachaga pia.
21. Msifuni
22. Mavanja
23. Kinenekejo
24. Kihiyo
25. kahungo
26. Kapwete
27. Kakoshi
28. Teendwa
29. Katumbi
30. Mshighati
Majina 20 ya Wapare ya KIKE:
1. Kolambo
2. Koero
3. Kilalo,
4. Nangasu
5. Nakiete
6. Niendiwe
7. Namwai
8. Namdori
9. Nakadongo
10. Nakijwa
11. Naetwe
12. Kokiondo
13. Namsi
14. Tevarirwe
15. Nambua
16. Namshamba
17. Nambosi
18. Mshinwa
19. Kandi
20. Kokiangi
Haya ongezeni mengine.....................
Mbaga Jr