Majina mapya ya viroba (pandol, chachandu, 4G, etc)...kwenu vinaitwaje?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Baada ya kupigwa marufuku viroba vimepata majina mapya maeneo mbalimbali. Mfano mitaa kadhaa niliyotembelea nimebaini majina mapya ya viroba kuwa ni panadol, chachandu na 4G. Wewe mtaani kwako vinaitwaje?
 
Baada ya kupigwa marufuku viroba vimepata majina mapya maeneo mbalimbali. Mfano mitaa kadhaa niliyotembelea nimebaini majina mapya ya viroba kuwa ni panadol, chachandu na 4G. Wewe mtaani kwako vinaitwaje?
faru john
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…