Majina mazuri ya kiasili/ kilugha ya kikinga, kuwapa watoto

Majina mazuri ya kiasili/ kilugha ya kikinga, kuwapa watoto

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Wasalaam wadau wa jukwaa,Naomba kutajiwa majina mazuri ya asili ya Wakinga ili niweze kumpa mtoto. Napenda majina ya kiasili kama njia mojawapo kuenzi utamaduni wetu Thank you in advance for your help
 
Alanyibata,Lohovelo,Mwihomeke but kama mtoto ni wa kiume jina hili ninalipenda mno Tuntemeke.
 
Back
Top Bottom