Majina mengi ajabu

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Jinsia ya kiume, ya kike na tendo lenyewe ndio vitu vyeme majina mengi sana.

kitu cha kiume utasikia kikiitwa mtarimbo, dudu, dude, kukwa lao, shafti, rungu, mpilipili, mkongojo, bakora, kipiliga, kibigobigo, tubelight, test tube, mkangafu, na mengine mengi.

jinsia ya kike utakuta inaiwa mbuye, kitumbua, sambusa, kipochi manyoya, kipompwiso, kishempereo, mashine, tobo, tundu, nk.

Ngono huitwa majina lukuki; kuchachachua, kuosha rungu, kunjunji, kugaragazana, kukamua, kuchabanga, kusokonyola, kukandamiza, kufyengesa, kudumbukiza na mengine mengi.

Je wewe unayajua wapi?
 
cha kiume...uume
cha kike ...uke
ngono...tendo la ndoa..

heshima na itawale hayo ni mambo matakatifu ati...:teeth:
 
cha kiume...uume
cha kike ...uke
ngono...tendo la ndoa..

heshima na itawale hayo ni mambo matakatifu ati...:teeth:

no comment
mengine yote hayatambuliki kisheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…