Majina mengine jf!!!

NGULI, Hao 'wazee' wawili wanaotembea hapo juu wananiacha hooi kabisa!, una visa ndugu yangu!
au mmojawapo ni wewe??

HA!ha!ha! ha! Avatar nazo super burudani-hao wazee ni wabunge tena maarufu afya zao ni chanzo cha wembamba wangu...mimi ni mwembamba sana nawaza kila kukicha namna ya kupata utajiri wa kihalali ni shee na wenzangu na sio kupata fedha za uwizi uwizi matokeo unanenepa ka mdudu.
 

Hakuna trade off kati ya uhuru kamili wa kujieleza na kukosekana anonimity.

Either utakuwa na anonimity na kuwa na uhuru kamili wa kujieleza, au utatumia jina lako kamili na kukosa uhuru kamili wa kujieleza.It is a truism.

Kuna watu hapa, kwa sababu ya kutumia pen names, wanaweza kuanika maovu hata ya watu wa karibu sana na familia zao, kama si watu wa familia zao kabisa. I can hardly see this happenning under real names.
 
Acha masihara lini uliona mbwa amevaa chupi?Au unamaanisha ni chupi /bikini iliyotokana na ngozi ya mbwa?

Mkuu nadhani hilo neno linatoka kwenye lugha za Kichaga (manake kuna vijilugha vingi uchagani) na neno Iteitei linamaanisha Chupi/bikini na Kitee inamaanisha mbwa,, labda uunganishe mwenyewe uweze kujenga maana kama siko sahihi...
 
Mkuu tafadhari naomba katika hawa waheshimiwa hapo juu wewe ni yupi?

........the healthy mind need the healthy body...a leader should have good healhty ...are these
HONOURABLE HEALHTY???....WHAT IS THE CAUSE??....to me ans is EGOISM
 
Hayo ni majina ya kichagga. Infwact nilivyoliona hilo jina la Itei tei lya Kitee nilicheka sana. Kwa sababu litei tei ni lichupi la mbwa sasa nilikuwa najaribu kuimagine hilo lichupi la mbwa limekaaje kaaje. Lakini ni jina zuri. Kuna majina mengine kama hilo la kyacha kiche nalo ni la kichaga maana yake ni acha kije wenye kujua mtanisahihisha. Mimi jina linalonivutia ni la KANA- KA- NSUNGU nina uhakika ni la kisukuma.
 
Last edited by a moderator:

Ha! hivi kumbe ni wabunge!! Wameshiba kweli, ona wanavyotebea kwa shida!! nimeipenda sana hii.
 

Huyo wa kulia mwenye suti ya kijivu ni mbunge wa Kigamboni, jina limenitoka kidogo!
 


gangilonga ni jiwe linaloongea..
Inasadikika kuwa pale iringa njini kwenye kilima cha maeneo ya mkuu wa mkoa kulikuwa na jiwe linalozungumza..
Ukiwa na shida ukienda kwenye jiwe hilo na kuziongea haja za moyo wako,
basi hilo jiwe hukujibu kwa sauti namna ya kutatua shida zako.
 
ni kichaga na kweli maana yake ni chupi la mbwa(itei tei lya kitee),kyachakiche...acha na ije../ na lolote liwe
NGULI:
Hapo kidogo ungepatia ila tafsiri yake haikukaa sawa sawa.
 
Mkuu BUJIBUJI,
Ahsante kwa ufafanuzi mzuri. Lengo la hii mada pamoja na kujiburudisha baada ya kuchangia zile nzito nzito, pia ni kujielimisha kwa namna ulivyofanya. Ingawa hivyo ID yako nayo maana yake nini?
 
mmhh, hii sehemu kidogo ni interested,
kabla sija shikwa shati bora niseme nick yangu inamaana gani.
Kila nick inamaana na i'm sure yangu karibu wote mnajua maana yake, lakini chenye point zaidi ni kwanini nilipewa hiyo nick.
wengi wameumiza kichwa kutoka na nick zao mi nilishikishwa na coleagues wangu kutokana na tabia niliyo kuwa naye in the world of computing..
cheers
 
Wakuu,

Kama mkuu mmoja alivyosema kuwa wakati mwingine tujiliwaze na mambo madogo kama haya......Hebu mtu a-guess langu linamaanisha nini?
 
Jana Mh. Zito Kabwe alisema sifuti kauli yangu na kyachakiche kutoka kwenye meza yako.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…