JituParaTupu
Member
- Nov 20, 2008
- 92
- 9
Poa mkuu kwa kutuhabarisha, inafurahisha kwa kweli.mmhh, hii sehemu kidogo ni interested,
kabla sija shikwa shati bora niseme nick yangu inamaana gani.
Kila nick inamaana na i'm sure yangu karibu wote mnajua maana yake, lakini chenye point zaidi ni kwanini nilipewa hiyo nick.
wengi wameumiza kichwa kutoka na nick zao mi nilishikishwa na coleagues wangu kutokana na tabia niliyo kuwa naye in the world of computing..
cheers
Mimi ndio ITEITEI LYA KITEE jamani!!
Wakutaka kuniuliza ani-pm tuuu
sioni sababu ya mtu kuku PM.maana ya jina lako inajulikiana ,ni chp ya mbw*.Mimi ndio ITEITEI LYA KITEE jamani!!
Wakutaka kuniuliza ani-pm tuuu
nakuunga mkono ndugu yangu! maanake muda si mrefu wataulizia na lakwangu....sshhhiiiii!!!...usiwaambieMimi ndio ITEITEI LYA KITEE jamani!!
Wakutaka kuniuliza ani-pm tuuu
lina maana saana.........mtu mwenye akili nyingi,busara na kadhalika......Nimekuwa najaribu kupitia list ya wanajf, hakika kuna majina ya kuchekesha sanaa kama si kufurahisha. Hivi ulishawahi kujiuliza nini maana ya haya majina? Kwa mfano hebu cheki haya na unipe maana yake:
3.Yo yo
Hayo ni majina ya kichagga. Infwact nilivyoliona hilo jina la Itei tei lya Kitee nilicheka sana. Kwa sababu litei tei ni lichupi la mbwa sasa nilikuwa najaribu kuimagine hilo lichupi la mbwa limekaaje kaaje. Lakini ni jina zuri. Kuna majina mengine kama hilo la kyacha kiche nalo ni la kichaga maana yake ni acha kije wenye kujua mtanisahihisha. Mimi jina linalonivutia ni la KANA- KA- NSUNGU nina uhakika ni la kisukuma.
Aksante mkuu kwa kutufunulia.lina maana saana.........mtu mwenye akili nyingi,busara na kadhalika......
Hicho nafikiri ni Kikaptula cha mtoto!!nakuunga mkono ndugu yangu! maanake muda si mrefu wataulizia na lakwangu....sshhhiiiii!!!...usiwaambie
Nimekuwa najaribu kupitia list ya wanajf, hakika kuna majina ya kuchekesha sanaa kama si kufurahisha. Hivi ulishawahi kujiuliza nini maana ya haya majina? Kwa mfano hebu cheki haya na unipe maana yake:
1.Itetei lya Kitee
2.hadiyanayamboka
3.Yo yo
4.hahanana
5.obhusengwe
6.gangilonga
7.Nesindiso Sir
8.Pakupaku
9.gavskanky
10.
11.
12.
List inaweza kuendelezwa!
Hata mimi nimeambiwa hivyo mkuu ndo maana nikasema mengine yanachkesha sana.
Sawa mkuu nafanya hivyo sasa hivi.Kyachakiche,ni PM tuongee
teh teh teh...Andika na ID yako maana imekaa kama ........
Kuna mtu hapa anajikausha!! Jina lake KINDIMBAJUU. Sasa huyu sijui amepata wapi inspiration ya hili jina. Nimewaza nikaona mawazo yanaelekea kubaya.
HAPPY INDEPENDENCE DAY!!
hahahaaaaa!!! kite kabisaKwa kukusaidia jamaa yangu mmoja amenambia kuwa Iteitei lya kitee inamaanisha Chupi/Bikini ya Mbwa... Labda wenye majina husika waje watuambie maana yake halisi.....
Kindimbajuu hili ni jina la kijiji huko wilaya ya mbinga mbele kidogo ya kijiji kinaitwa Rwanda ukiwa unaelekea direction ya Lituhi. Hivyo inawezekana huyu jamaa anayejiita jina hili anatokea huko.Kuna mtu hapa anajikausha!! Jina lake KINDIMBAJUU. Sasa huyu sijui amepata wapi inspiration ya hili jina. Nimewaza nikaona mawazo yanaelekea kubaya.
HAPPY INDEPENDENCE DAY!!