Majina, misemo na maneno kwenye khanga

tehe tehe tehe nimemkumbuka mpoki juzi alikuwa anatuchamba wanawake wembamba, eti raha ya kanga maneno yote yasomeke, sasa sisi hatuna chura, tunazungusha kanga mara tatu, hata maneno ya kwenye kanga hayasomeki yote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole
 
Juzi kuna mtu nimesoma khanga yake inasema:-

Kama vyuma vimekaza Kiringo grisi anayo.
Mkuu haya maneno pasua kichwa hata sijaamini, hapo lazima mume kichwa kikuume [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji123] [emoji123]
 
Sikuhizi yale maneno ya 'mume ni wako akiwa chumbani'
Panua paja mkwaju waja
Shost danga langu niachie

Maneno haya hayauzi jamani, maneno yanayouzika ni kama:
Penzi la mama ni tamu
Kwa bwana kila goti litapigwa
Ninamwamini Mungu
Shida kwa wanawake wasiokuwa na chura wanazungusha khanga mara sita maneno yote hayaonekani wankuwa kama wamevaa kaniki
 
Wanawake wengine hutumia maneno ya khanga kupunguza hasira, ataivaa hiyo khanga wiki moja hadi ujute...
 
Nina khanga ila sikuwahi kufikiria kuhusu maneno, nilichagua rangi tu..imebidi niyasome leo..doooh
 
Kuna zile khanga zilizoandikwa

WACHEMSHE HAO HAO KWANGU MTAPOA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…