Ahahahahaaah vipi na haya majina yetu ya asili kama Mizengo, Paramagamba na mengine ya aina hiyo!
mmmh me ninaowafahamu wana sifa tofauti na hiyo.Grace Neema, wapole kwa sura, pia wacheshi.
Anna Mkapa
Grace Neema, wapole kwa sura, pia wacheshi.
sifa gani hizo mkuu ?zitaje basi!!mmmh me ninaowafahamu wana sifa tofauti na hiyo.
.
Zitto: ni wasaliti sana.
Kwa nini machungudoa wengi wanaitwa Jackquiline, Lilian, Suzy, Deborah, Lucy, Mary....? ndo yenye mvuto kwa wateja? usiniulize nimejuaje?
hasa Jackie..na Lily..
Na hata mimi sijui nimejuaje.
Unajua sana!
Akina Dick balaa hawahitaji Viagra!
Sijui bana tehtehteheee