Majina na Tabia zake

Naona mnaingilia kazi za Sheikh Yahaya Hussein. Mtaiweza!
 
ila wewe mbona nasikia unatumia ile kitu ameisema rev masanilo.[/QUOTE]



Wenye majina ya Masanilo huwa ni wabishi sana na hata kama kuna ukweli ataupinga na atakupa maelezo mpaka utaamini anachotaka yeye na huwa hawakubali kushindwa.
 
Hamisi, Juma, Muddy - wengi wao ni wezi, vibaka ...
 
Abuu: ni wacheshi sana, wanapenda kuongea ongea ila hawaboi.
Hidaya: wana huruma na hupenda kusaidia watu. Ni watu wanaopenda kujituma.
kwenye red - wengi ni wahuni sana...ukimwacha kidogo tu ameliwa uroda
 
Frola- Kwa kujipendekeza na kumegwa na wakubwa acha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…