Mi naitwa Dick.....
ila wewe mbona nasikia unatumia ile kitu ameisema rev masanilo.[/QUOTE]
Wenye majina ya Masanilo huwa ni wabishi sana na hata kama kuna ukweli ataupinga na atakupa maelezo mpaka utaamini anachotaka yeye na huwa hawakubali kushindwa.
Akina nyanzala wanatamaa sana!hawa huwa hawadumu kwenye ndoa na ni wajeuri sanaaaaaa
kwenye red - wengi ni wahuni sana...ukimwacha kidogo tu ameliwa urodaAbuu: ni wacheshi sana, wanapenda kuongea ongea ila hawaboi.
Hidaya: wana huruma na hupenda kusaidia watu. Ni watu wanaopenda kujituma.
Pia ni wapenda ngono. alafu wanajua mambo.Akina Steve ni watundu sana jamani, mwee!
frola- kwa kujipendekeza na kumegwa na wakubwa acha tu
Beny- Viwembe sio mchezo
Mary- Wapole na wastaarabu
Teh teh teh!!!pia mbinafsi wa kutupwa!!