Vuta subira mkuu yatakuja tuWadau wan jf, kulikuwa habari kuwa majina ya ajira mpya za walimu yangebandikwa leo j5. Mimi nilijua ni kwenye websites husika. Lakini mpaka sasa hakuna. Mbali na kupigika kitaa, tungepende kuona majina yetu mapema tuanze kuomba nauli za kwenda huko sitimbi. Tupeane taarifa wadau. Naomba kuwasilisha.
Vuta subira mkuu yatakuja tu
Haya kamateni majina hayo kwa PDF wale wa SIMU mtaniwia radhi!! Ya diploma na nwlinu-mahitaji maalumu sijaweka...............!! Hongereni sana,mkajenge taifa!! wenzangu nami tusio walimu SUBIRA YAVUTA KHERI
We ni noma. Shukrani sana nipo Kinondoni.Haya kamateni majina hayo kwa PDF wale wa SIMU mtaniwia radhi!! Ya diploma na nwlinu-mahitaji maalumu sijaweka...............!! Hongereni sana,mkajenge taifa!! wenzangu nami tusio walimu SUBIRA YAVUTA KHERI
<br>Haya kamateni majina hayo kwa PDF wale wa SIMU mtaniwia radhi!! Ya diploma na nwlinu-mahitaji maalumu sijaweka...............!! Hongereni sana,mkajenge taifa!! wenzangu nami tusio walimu SUBIRA YAVUTA KHERI
Wakajiandae kukopwa mpaka wakome. Kila la kheri.