Majina ya form six wasiyo pata vyuo mwaka huu

Ambumbulwisye

Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
41
Reaction score
3
Tafadhari wana jamii forum.com naomba msaada nataka kujua kama jina lang lipo katka wale wasiyo pata vyuo, jina nitumialo ni hilohilo la mwisho ni signature yangu iyo hapo chin yaan (asukile) ninaishi eneo baya sana kiasi kwamba ndiyo kwanza napata taarifa saizi
 

Ambumbulwisye Asukile halipo ktk list, unaweza kujiridhisha kwa kufungua profile yako kuona kilichopo.
 
Nashukuru xana ndugu nimefurah pia kwa kupata taarifa kama hiyo ahsanteh!!
 
wataalam naomba mnicheck [martine a marmo] kama nimekosa au la!
 
Kwani mnacheki wapi na sie tucheki manake list ni ndefu kidogo.....
 
Kwani mnacheki wapi na sie tucheki manake list ni ndefu kidogo.....

kama unatumia cmu i.e opera min ingia sehem ya tools fungua sehemu ya find in page, then weka jina au namba yake ya mtihan then press ok, kama yupo kwenye list itakuambia ! Kama unatumia computer ingiza namba/jina kwenye search then click enter! Ila majina yote lazima uwe umeyadowload na kuyasave kma kwenye cm au comptr! Ila yapo meng balaa kuyacoma mja mja c mchezo macho lazma yaceme poooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…