Majina ya JF ni raha tupu

flowerss

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
640
Reaction score
591
Ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia baadhi ya majina ya humu ndani.
Kusema ukweli Kuna baadhi yanafikilisha Sana na wkt mwingine hata kabla ya kusoma Ni nini mhusika kapost utabaki unacheka au pengine kutaka kujua leo kaja Ni lipi.(Japo majina mengine Ni ya kawaida na wao Wana Mikasa yao mfano Mshana Jr.,)
itapendeza wakija na majibu walimaanisha Nini kujipa majina hayo au Ni majina tu bila sababu??
Mimi nianze na haya na Kama na wewe una jina jingine linalokukusa limwage hapo chini na mbali na Jin unavutika Nini na huyo mhusika kwa Mambo yake
1.Kidukulilo
2.Magonjwa mtambuka
3.Macho pya Kindi
4.Kaka Jambazi
5.Bia yetu
,6.Miss natafuta
7.?Mbalimbababonahi
8.Nawatafuna
9.Katumba songwe
Let have fun dears....
Mwagika mengine yenye kufurahisha
 
Quinine
Quinine Mwitu
Asprin
Bazazi
OIL CHAFU
mende msafi
KENZY
Boflo
Jini Kisirani12
jichawi
Masulupwete
 
Mzizi mkavu

Jitu la miraba minne

Simba wa buyenge

Inzi

Chizi maarifa

Mng'ato

Amavubi🤣
 
ALBINO MWEUSI.
@NAANTOMBE
 
Huyo balibabambonahi ni kihaya kwa kiswahili akimaanisha kamwe hatoonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…