Majina ya Kiswahili Fasaha ya Pacha watatu na wanne.

Majina ya Kiswahili Fasaha ya Pacha watatu na wanne.

Others

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
1,189
Reaction score
2,765
Habari za leo wapendwa, leo nimekutana na changamoto moja ambayo imenifanya niwaze sana japo najua kuna majibu yake humu ndani.

Naomba kujuzwa Pacha wa tatu au nne kuzaliwa anaitwaje kwa lugha rahisi ya kiswahili kama ilivyo kwa Pacha wa kwanza kuitwa KULWA na wa pili ni DOTO.

Naomba kuwasilisha hoja inayohitaji msaada wanaJF.
images.jpg
 
Ahsante sana ndugu mycall lakini huko ni kwa kilugha sasa... Vipi kwa kiswahili?
 
Kulwa ni mmoja hao wengine wote watakuwa na sifa za kuitwa doto
 
Duuh!!!, Nahisi naanza kuelewa somo
 
asante kwa kunijuza habari ya kashinje ila mi nilisema kashinde
 
Baada ya kulwa, dotto anafuata nyongise, masantula halafu nyamayao
 
Back
Top Bottom