Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
Salama wakuu.
Kuna hii kasumba mpya imeingia kwenye jamii.ni kule kujaribu kuleta complications kwenye uandishi wa majina yetu hasa yale ya asili ili yafanane na yale ya kigeni.
Huwa sijui ni ulimbukeni tu au kutojua
Maana au historia. inajulikana waz kuwa majina ya asili hasa ya kibantu yana mfumo wake tena rahisi kabisa wa namna yanavyoandikika na kusomeka.
Mfano wa kasumba hizo ni kwa mfano sirro badala ya Siro au zitto badala ya zito au dialo badala ya diallo..sitta..Makalla.ngassa shizza nk
Yapo kibao tu..hv toka lini majina ya kiasili kimofolojia yakaundwa na complex double consonants..au upo ulazima yaandikike hivyo. ,
Kuna hii kasumba mpya imeingia kwenye jamii.ni kule kujaribu kuleta complications kwenye uandishi wa majina yetu hasa yale ya asili ili yafanane na yale ya kigeni.
Huwa sijui ni ulimbukeni tu au kutojua
Maana au historia. inajulikana waz kuwa majina ya asili hasa ya kibantu yana mfumo wake tena rahisi kabisa wa namna yanavyoandikika na kusomeka.
Mfano wa kasumba hizo ni kwa mfano sirro badala ya Siro au zitto badala ya zito au dialo badala ya diallo..sitta..Makalla.ngassa shizza nk
Yapo kibao tu..hv toka lini majina ya kiasili kimofolojia yakaundwa na complex double consonants..au upo ulazima yaandikike hivyo. ,