Duuh[emoji23]freemasons hao
freemasons hao
Kwenye jina la Nyerere hakuna M, hiyo mwalimu ni kwasababu ni mwalimu kitaaluma na sio jina lakeWakuu habari zenu,
Kuanzia rais wa kwanza wa Tanzania hadi wa sasa katika majina yao iwe matatu au manne hakujawahi kukosekana jina linaloanzia na herufi M.
Mfano,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Alhaji Ally Hassan Mwinyi
Benjamin William Mkapa
Jakaya Mrisho Kikwete
Dr.John Pombe Joseph Magufuli
Je,kuna makusudi yeyote katika hiyo herufi au imekuwa ikitokea tu accidentally?
Kambarange>>>> Kambaragemwalimu sio jina ni heshima tu ni Julius kambarange nyerere
Uko sahihi,ila pamoja na hayo hilo jina la heshima limeanzia na M.Kwenye jina la Nyerere hakuna M, hiyo mwalimu ni kwasababu ni mwalimu kitaaluma na sio jina lake
Jina lake halisi ni:- Julius Kambarage Nyerere. Nioneshe hiyo M hapo[emoji115] [emoji115]
Kwanza hilo sio jina, ref katika types of names (nomino) hakuna kitu jina la heshima, hiyo ni kama hadhi tu. Sio jinaUko sahihi,ila pamoja na hayo hilo jina la heshima limeanzia na M.
Kwahiyo kama kulikuwa na lengo basi limetimia pasipo kujali ni halisi ama la kutengeneza,I mean la heshima.
Duh,kwani yule wa pili kabadili dini? (nimejiuliza mwenyewe mkuu)
Chief vp? Hivi unafeli wapi wakati mara nyingi hadhi ya mtu huoneshwa kwa ngeli ya A - WA au YU-A-WA.Uko sahihi,ila pamoja na hayo hilo jina la heshima limeanzia na M.
Kwahiyo kama kulikuwa na lengo basi limetimia pasipo kujali ni halisi ama la kutengeneza,I mean la heshima.
Kwenye jina la Nyerere hakuna M, hiyo mwalimu ni kwasababu ni mwalimu kitaaluma na sio jina lake
Jina lake halisi ni:- Julius KaMbarage Nyerere. Nioneshe hiyo M hapo[emoji115] [emoji115]