Wakuu,
Kuna baadhi ya nchi ambazo hujulikana kwa kiingereza kwa jinsi zinavyojulikana;lakini nchi hizo pia katika llugha yetu adhimu ya Kiswahili unakuta zinaitwa majina tofauti.Mfano nchi kama Malawi inaitwa hivyo hivyo kw lugha zote;lakini angalia nchi zifuatazo;
1.England- Uingereza
2.Egypt-Misri
3.Mozambique-Msumbiji
4.Greec-Ureno
nk nk nk
Mwenye kujua asili ya maneno hayo ya kiswahili yenye kuonesha kubadili kabisa maana pana ya nchi husika atujuze.
Wakuu,
Kuna baadhi ya nchi ambazo hujulikana kwa kiingereza kwa jinsi zinavyojulikana;lakini nchi hizo pia katika llugha yetu adhimu ya Kiswahili unakuta zinaitwa majina tofauti.Mfano nchi kama Malawi inaitwa hivyo hivyo kw lugha zote;lakini angalia nchi zifuatazo;
1.England- Uingereza
2.Egypt-Misri
3.Mozambique-Msumbiji
4.Greec-Ureno
nk nk nk
Mwenye kujua asili ya maneno hayo ya kiswahili yenye kuonesha kubadili kabisa maana pana ya nchi husika atujuze.
Upuuzi mtupu, "Greec-Ureno"!!?? eti "nyie" ndo nguvu kazi ya Taifa, maskini nchi yangu Tanzania..duh!
Greece/ugiriki
Portugal/ureno
Ninalolijua hapo ni Misri tu. Kiswahili kilitoa neno Masry kutoka lugha ya kiarabu lenye maana ya nchi hiyo yaWakuu,
Kuna baadhi ya nchi ambazo hujulikana kwa kiingereza kwa jinsi zinavyojulikana;lakini nchi hizo pia katika llugha yetu adhimu ya Kiswahili unakuta zinaitwa majina tofauti.Mfano nchi kama Malawi inaitwa hivyo hivyo kw lugha zote;lakini angalia nchi zifuatazo;
1.England- Uingereza
2.Egypt-Misri
3.Mozambique-Msumbiji
4.Portugal-Ureno
nk nk nk
Mwenye kujua asili ya maneno hayo ya kiswahili yenye kuonesha kubadili kabisa maana pana ya nchi husika atujuze.
Upuuzi mtupu, "Greec-Ureno"!!?? eti "nyie" ndo nguvu kazi ya Taifa, maskini nchi yangu Tanzania..duh!
Wakuu,
Kuna baadhi ya nchi ambazo hujulikana kwa kiingereza kwa jinsi zinavyojulikana;lakini nchi hizo pia katika llugha yetu adhimu ya Kiswahili unakuta zinaitwa majina tofauti.Mfano nchi kama Malawi inaitwa hivyo hivyo kw lugha zote;lakini angalia nchi zifuatazo;
1.England- Uingereza
2.Egypt-Misri
3.Mozambique-Msumbiji
4.Portugal-Ureno
nk nk nk
Mwenye kujua asili ya maneno hayo ya kiswahili yenye kuonesha kubadili kabisa maana pana ya nchi husika atujuze.[/uliza kipindi cha Kiswahili Jumamosi kinachoanza saa 1:30 asubuhi Radio 1