Majina ya Vigogo Wanaomiliki Akaunti Uswisi

Majina ya Vigogo Wanaomiliki Akaunti Uswisi

Kinyungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
19,484
Reaction score
38,416
Kwa takribani siku tatu tumesikia kuwa kuna Viongozi wa Serikali ya Tanzania inayoongozwa na CCM wanaomiliki akaunti huko nchini Uswisi. Mambo hayo nakumbuka miaka ya nyuma tulikuwa tukisimuliwa alikuwa akiyafanya Marehemu Mobutu Seseseko wa Zaire. Tunaomba yeyote anayejua majina ya Vigogo hao wanaotuibia kupitia makampuni yaliyowekeza kwenye madini, mafuta na gesi aweke majina yao hapa.
 
Mimi nilidhani ndo unawataja hao vigogo,kumbe na wewe unauliza???
 
nimekuja speed iliniyapate majina kumbe blah blah...
 
We hiyo ni hatari tupu hata kama wanajulikana kuweka jina hapa ni sawa na kujiwekea kitanzi mwenye pesa siyo mwenzio ana mkono mrefu,mbona kina Slaa hawajawataja kwa majina waachie wanasiasa watajane wenyewe jifunze kwa waziri wa uchukuzi wa sasa ndiyo utaelewa hatari iliyo mbele yako.
 
sheria za siri za uswisi hazuruhuru kutaja hadharani bila serikali ya nchi husika kuomba kibali cha kutajwa hadharani...kinachotakiwa ni bunge kushinikiza SERIKALI YA MAGAMBA iombe kibali cha kuidhinisha majina yatajwe na kiasi cha kila kigogo na benki anayotunzia
 
Dah nimechoka ghafla hebu nisubiri sredi yenye majina.
 
sheria za siri za uswisi hazuruhuru kutaja hadharani bila serikali ya nchi husika kuomba kibali cha kutajwa hadharani...kinachotakiwa ni bunge kushinikiza SERIKALI YA MAGAMBA iombe kibali cha kuidhinisha majina yatajwe na kiasi cha kila kigogo na benki anayotunzia

Yaaaaani bunge likae kushinikiza majina yatajwe?!, why spending your usefull resources for non usefull deed?!, mimi nilidhani bunge lishinikize pesa irudi kwenye ac ya taifa kama chenji ya raada ilivyorudishwa!.
 
AAAAAAAAAAAAAAAArgh! nilifikiri kuna majina.
 
Kwa takribani siku tatu tumesikia kuwa kuna Viongozi wa Serikali ya Tanzania inayoongozwa na CCM wanaomiliki akaunti huko nchini Uswisi. Mambo hayo nakumbuka miaka ya nyuma tulikuwa tukisimuliwa alikuwa akiyafanya Marehemu Mobutu Seseseko wa Zaire. Tunaomba yeyote anayejua majina ya Vigogo hao wanaotuibia kupitia makampuni yaliyowekeza kwenye madini, mafuta na gesi aweke majina yao hapa.

Hebu weka jina lako unalotumia serikalini, then nichek database ya hii kitu ya uswis nione kama haumo!:A S confused:
 
Kwa takribani siku tatu tumesikia kuwa kuna Viongozi wa Serikali ya Tanzania inayoongozwa na CCM wanaomiliki akaunti huko nchini Uswisi. Mambo hayo nakumbuka miaka ya nyuma tulikuwa tukisimuliwa alikuwa akiyafanya Marehemu Mobutu Seseseko wa Zaire. Tunaomba yeyote anayejua majina ya Vigogo hao wanaotuibia kupitia makampuni yaliyowekeza kwenye madini, mafuta na gesi aweke majina yao hapa.
Usalama wa Taifa wanalifanyia kazi hili ila nijuavyo hata wao wamepata deal hapo, sidhani kama watatoa hayo majina kwani itawasaidia nini?
 
Yaaaaani bunge likae kushinikiza majina yatajwe?!, why spending your usefull resources for non usefull deed?!, mimi nilidhani bunge lishinikize pesa irudi kwenye ac ya taifa kama chenji ya raada ilivyorudishwa!.
kurudisha pesa kimya kimya haitoshi kwani wezi walioiba hizo pesa ni wale wale walioiba na kwingine..kwa nini tusiwajue ili tufuatilie nyendo zao?? ni rahisi kupambana na tatizo kama utajua chanzo chake
 
Lowasa kaenda kuchimbua habari, zitajulikana kwani ndiyo zitakazo msafishia njia ya kwenda ikulu. Natabiri Membe kujiuzuru uwaziri wa mambo ya nje soon!! Kama EL hataweka wazi hili kashfa zito, basi tutaendelea kumuona mtu asiye na nia nzuri na hii nchi.
 
Lowasa kaenda kuchimbua habari, zitajulikana kwani ndiyo zitakazo msafishia njia ya kwenda ikulu. Natabiri Membe kujiuzuru uwaziri wa mambo ya nje soon!! Kama EL hataweka wazi hili kashfa zito, basi tutaendelea kumuona mtu asiye na nia nzuri na hii nchi.
maana hawa wawili wanapigania mkate,sasa mmoja kapewa nafasi ya kuidhinisha mkate wa mwenzake kazi ipo
 
EL kaenda kukaushia habari siyo kufichua wanalindana sana hao unajuaje kama na yeye ni mmojawao?
 
EL kaenda kukaushia habari siyo kufichua wanalindana sana hao unajuaje kama na yeye ni mmojawao?
Bilion 300 si kidogo, zikimwagwa kwenye makanisa na misikiti nani atasema EL hafai, wote wataanza kukenua meno wakisahau watanzania wanamatatizo ya uongozi!! viongozi wasiojali hatma ya nchi, zaidi ni kujipendekeza kwa viongozi wetu kwenye hizi nchi zinazotuibia mali ghafi.
 
Back
Top Bottom