We ngalikihinja mwana wa yani? ummanyile na msongela? ah pale namatuhi ndo pa bomani bwana, ummanyile na mbema?
Kwa wasiojua 'kiingereza'😀!
"Wewe Ngalikihinja ni mtoto wa nani (ni ukoo gani)? Unamfahamu hata Msongela! Pale Namatuhi ndio kwetu bwana, unamfahamu na Mbema?"
Wakuu kule kwetu mpitimbi songea kuna kilaji babu kubwa kinaitwa myakaya, inatengenezwa kwa mihogo haha, kuna msabe hii inapatikana iringa vijijini, pyua au gongo bin chang'aa inatokana na sehemu na sehemu, wakati naishi maeneo ya shamsi pale arusha kuna washkaji zangu wa matejoo waliniambia pyua ya pale inamchanganyiko wa hatari, kuna molases humo, mapapai, vidonge vya klorokwini yaani noma tupu
Yaani pale pale mfaranyaki bwana, bombi ii nyumbi ii, halafu ukienda Magagula unapata Myakaya kwa sana, Yaani umenikumbushi home bana
GONGO, chang'aa, Piwa,Wamasai wanapombeka na nini?
Pia kuna kihambule, hii inatengenezwa kwa vimelea vya mahindiComoni inapatikana iringa inatokana na vimelea vya mahindi
kangala-Iringa inatokana na pumba za mahindi
Msabe- Iringa,inatokana na mtama
Sweera-Iringa inatokana na vimelea vya mahindi pamoja na asali
Gongo asili yake ni Germany ilifika hapa kwa mara ya kwanza WW1 baada ya waheshimiwa kukosa whisky ndipo wakaamua kuitengeneza.
NI KITU KIZURI SANA MIMI HUWA NAITUMIA.
PROBLEM HAPA NI ALCOHOLIC VOLUME INA FLACTUATE ...
NINGESHAURI SERIKALI IRUHUSU HII KITU THEN SIDO WAWE WANANUNUA NA KUCHUJA NA KU PACK NA KU CONTROL ALCOHOLIC VOLUME (IWE STANDARD) ....ITAWAPATIA AJIRA WA TZ WENGI....
HII UGANDA WANAITA WARAGI NA MALAWI NI POWER NAMBA 1....HAPA BONGO NI FITNA TUUU ETI HARAM.....
GONGO, chang'aa, Piwa,
wanakunywa kama wewe unavyokunywa bia.