Elections 2010 Majina ya Viongozi wetu na Uongozi Bora

Umsolopogaas

Member
Joined
Jul 18, 2010
Posts
40
Reaction score
11
Watu wanasema ukimwita mwanao Shida, Tabu, Mjeuri, Jinga … atakuwa na tabia hiyo hiyo.


Sasa sisi tuna viongozi wetu wana majina wewe wacha tu.
Rais anaitwa Kikwete, kazaliwa kijiji cha Msoga. Daktari wake anaitwa Mfisi. Waziri Mkuu wake anaitwa Pinda. Mgombea mwenza wake anaitwa Bilali. Alirithi utawala (au uongozi?) kutoka kwa Mkapa.


Kwa mtaji huo utategemea Tanzania iwe kitu kingine zaidi ya “moja ya nchi zilizo maskini sana ulimwenguni” ambayo ndiyo imekuwa sifa yetu ya kudumu kwa miaka 50 sasa?


Naona ili tuendelee inabidi tuwe na viongozi wenye majina yanayoashiria mafanikio, neema, success, achievement, accomplishment na siyo kinyume chake.
 
Does this make any sense?

It doesn't...hebu nagalia haya ya wenzetu THATCHER(muezeka kwa nyasi)...BUSH(kichaka).....BROWN(kahawia).....SOUTHGATE(lango la kusi)....SHOWCROSS(onyesha msalaba)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…