kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Well said mkuu hivi vitabu are best books ever.Kuna vtabu vingi tu nimevisoma lakini the best ever kwangu ni
THE MILLIONAIRE FASTLANE
NA
UNSCRIPTED : Life,liberty and pursuit of entrepreneurship
Yani ukivisoma hivi/ukaskiliza audio books ...utathink na kuact different
PIA TUKUMBUSHANE, READING PEKEE HAITOLETA MAFANIKIO, Bali ACTION/PRACTICE za ulichojifunza EVERYDAY
Wish u all successful 2018
Hivi Kuna baadhi ya watu humu Wana soft copy zake Omba utumiwe kama Emailhivi vitabu vinapatikana wap kwa hapa tz mkuu....
Kabisa mkuu kikubwa ni kupractice utainjoi sana maishaWell said mkuu hivi vitabu are best books ever.
Pia umeshauru sahihi kusoma pekee, haitabadilisha maisha yako jitume fanya kazi jijengee mazingira ya maanikio.
Mkuu samahani naomba unitumie hivyo kwenye email yangu sijavisoma bado.. Nisaidie tafadhali mkuuKuna vtabu vingi tu nimevisoma lakini the best ever kwangu ni
THE MILLIONAIRE FASTLANE
NA
UNSCRIPTED : Life,liberty and pursuit of entrepreneurship
Yani ukivisoma hivi/ukaskiliza audio books ...utathink na kuact different
PIA TUKUMBUSHANE, READING PEKEE HAITOLETA MAFANIKIO, Bali ACTION/PRACTICE za ulichojifunza EVERYDAY
Wish u all successful 2018
pitia huu uzi, una vitabu mpaka utachanganyikiwa[emoji2]Hivi Kuna baadhi ya watu humu Wana soft copy zake Omba utumiwe kama Email
Wengine tunasubir msamaria mwema akivitafsiri
AsanteNjoo kwangu nikusaidie.
Asante
Jina la mwandishi wa hicho cha INSCRIPTED, au kama unayo softcopy fanya hisani mkuuKuna vtabu vingi tu nimevisoma lakini the best ever kwangu ni
THE MILLIONAIRE FASTLANE
NA
UNSCRIPTED : Life,liberty and pursuit of entrepreneurship
Yani ukivisoma hivi/ukaskiliza audio books ...utathink na kuact different
PIA TUKUMBUSHANE, READING PEKEE HAITOLETA MAFANIKIO, Bali ACTION/PRACTICE za ulichojifunza EVERYDAY
Wish u all successful 2018