Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

baridi,chai,namba3,namba5,uda,mama ntilie.malawi,shimo la udongo,highway,pepsi,uhasibu.saba7,pile,sokota,stop over
 
Kilima nyege-oysterbay.

Mwisho wa nyodo-sinza makaburini.
 
maji matitu,mbande,charambe transformer,post,magengeni,msikitini,rangi3,kizuiani,kipati,kwa mbiku,mission,mtongani,kw aziz ally......
 
Kumekucha,mapambano, afrca sana,kwa marehemu(remy) kamanyola, rombo,palestina...
 
maji matitu,mbande,charambe transformer,post,magengeni,msikitini,rangi3,kizuiani,kipati,kwa mbiku,mission,mtongani,kw aziz ally......

Wenywewe wanaita FOMA,vipi mzee wa MBAGARA wewe?
 
yombo reli, bombom,kijiwe samli, jeti rumo, teh teh, kabda sijaondoka bongo ilikua vumbi sijui sasa hivi, maeneo ya kiwalani karibu na uwanja wa ndege
 
friends corner, relini, usalama, matunda, soko mjinga, sinoni, soko mapunda, nguzo mbili..

mugabe, palestina, morroco, kaunda..
 
kibombom na kijiwe samli! kwa bibi mapaka!
 
davis cona, relini, shule, ccm/chama, njiapanda ya machimbo/mwinyi, abiola, kwa mama kibonge, kwalulenge, kwa osama, buza kanisani
 
mlimani road: mpakani, kwa kifungira, savei, ardhi, shule, udasa, kantini, bondeni, utawala, maji, sheli
mwananyamala: kwa kopa, komakoma
kimara: maji, rombo, kibo, kona, baruti, bucha, resort, korogwe, stop ova, suka, temboni
tabata-segerea:sigara, mangumi, sanene, mwembeni, bucha, kwa bibi,
morogoro road: usalama, mapipa, mwembechai, kagera, manzese, tiptop

..............endeleeni hadi viishe
 
Faya
Temeke mwisho
Temeke chang'ombe
Temeke Sudani
Uwanja wa taifa
Maduka mawili
 
tutaje kwa barabara

1.morogoro road

Akiba
Fire,
jangwani,
mwembechai,
kagera,
tip top,
shekilango,
ubungo
rombo/kibo,
baruti/bahama mama,
bucha,
korogwe,
Kimara,
stop over,
suka,
temboni,
kwa msuguri,
kibanda cha mkaa
mbezi luis.............
 
Du..Miss judith zamani ulikua konda?
 
Kibanda cha mkaa, kwa kopa, mwembe jini, kwa bibinyau, stesheni n.k
 
mbona sijaona posta mpya, posta ya zamani, kituo kipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…