Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,650
Hebu tujikumbushe Pan Africa FC;
Juma Pondamali
Mohamed Mkweche
John Faya
Leodgar Tenga
Jella Mtagwa
Ali Katolila
Ibrahim Kiswabi
Goldian Mapango
Peter Tino
sanifu lazaro, 'tingisha'
Fumo felician,
Clement kahabuka,
Fikiri makosa,
Sahau kambi,
Yona kasambale,
Damian kimti,
Hamis gaga rhino,
Nteze john lungu,
Mwanamtwa kiwelu,
John masamaki
WHERE ARE THEY JAMANI?
1.Joseph Fungo
2.Yusuf Ismail Bana
3.Freddy Felix Minziro
4.Athumani Juma chama
5.Lawrence Mwalusako
6.Issa Athuman
7.Aboubakar Salum
8. Athuman China
9. Said Mrisho
10. Abeid Mziba
11. Edgar Fongo....
Enzi hizo sikuwa na sababu ya kutokuipenda hii club asiee...
Abdallah suleiman kaburuJUma kachumbali
Paul rwechungura
Juma Kidishi
Athuman China/Juma China.
Salum Kabunda
Noma huyo alikua anaujua mpira kweli kweliHuyu Abdalah Bori,anafanya kazi kwenye kampuni moja kwa sasa ambapo niko nae karibu sana aliwahi kunisimulia kwamba alikuwa mcheza mpira nikamkatalia kabisa, nimeona anatajwa hapa, kumbe ni kweli. Maana yawezekana enzi hizo nilikuwa mtoto.
RED STAR (NYOTA NYEKUNDU)Moris Nyuchi alikuwa golikipa, sijui timu gani!!
2008 nilikutana na Rwechungura Adelphi, Maryland. Ana kampuni yake binafsi ya kufanya Electrical Installation. Amekuwa bonge la mtu ana miraba mi4Haa! Paul Rwechungula huyu jamaa alikuwa golikipa mzuri sana ndio alikuwa anagombea namba na Madata Lubigisa (baba yake na Lubigisa lubigisa aliyewahi kuchezea Simba) pale Pamba (Tupwisa Mazembe Lindanda wana kawekamo)! Mara ya mwisho kumsikia ilikuwa ni kwenye michuano ya Kombe la Afrika Mashariki ( sasa Kagame Cup) kule Uganda timu ya Pamba ilikuwa inacheza na Sport Villa ya Uganda, nakumbuka Pamba ilipigwa "uchaguzi wa madiwani arusha (i.e 4-0), goli la nne lilifungwa na Majjid Musisi na nilimsikia mtangazaji akisema" Rwechungura is annoyed he is going out of the pitch"... Tangu hapo sijamsikia tena!
Alikuwa fullback wa uhakika wakati huo pamba mbele yake Beya Simba hatari ilikuwa.Ukamtake radhi kabisa Nyasirori