Majina ya walimu ngazi ya cheti wanaotakiwa kujiunga na mafunzo ya jkt 2014 haya hapa

Majina ya walimu ngazi ya cheti wanaotakiwa kujiunga na mafunzo ya jkt 2014 haya hapa

jamani naombeni muniangalie JOHN GASPER- Mtwara chuo diploma kwani niko village kuangalia issue
 
inaonekana ni grade a tu ndo wanaenda humo
 
andika majina yako kwa usahihi nikuchekie hapa maana hilo uloloandika sijaliona kwenye list hapa
 
tarehe ya kwenda ndo msamiati hawajasema chochote labda watasema mbeleni:llama:
 
PHILEMONI M LUCA.
Korogwe tchers colege tanga.
naomba unangalizie m n diploma nimehitimu
 
Back
Top Bottom