Watatoa Majina Wenywe TCU na Kila Mwaka Kuna Utaratibu Wake Vyuo Vingine Subirini Tar 22
jaman majina haya n wale walio aply first au nawa second wamo??? msaada tafadhal
Wamechanganya na watu wa dploma au ?
Jamaa Kamind Watu Kukosoa Wakati Hawana Ukweli
jaman kama kna mwny taarfa kamil ya majna hayo ya st.joseph n kwa awam ya kwanza tu au na ya pil?"""mnatchangnya mara n awam ya kwanz weng n wanasema awam zote sasa tuelewe lip jaman""::::!!!!
Wamechanganya na watu wa dploma au ?
hayo ni 1st round tu. Ya second round bado.