Majina ya waliochaguliwa ualimu awamu ya pili 2015

cha ukweli

Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
67
Reaction score
5
Habari za kwenu wadau!

Naomba kuuliza kama NACTE wameshatoa majina ya walioomba mafunzo ya ualimu awamu ya pili,," maana nacte baada ya kuongeza muda wa kutuma maombi walisema watayatoa mwanzoni mwa mwezi wa tatu lakini mpaka sasa kimya.

Kwa anayefahamu atujuze tafadhali

Ahsanteni!
 
Huo mwaka kwenye heading umeuona vizuri.? au labda kweli umeomba nafasi za 2025..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…