Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, watu wamechoka maisha ya kitaa, majina ya wanaopangiwa hurushwa wapi na lini yanaweza toka maana shule za private wameshaanza kufungua......
Cjui hata wengine wanalaumu nini. Wewe kama unafahamu. Mueleze mwenzio! Kiherehere mungu na shetani wote hawataki.
Daah, wa tz tunashida...
Sasa ww unaona ni nn alafu unauliza, ww ni m2 mzma bana ucjifanye mtoto, kama nimekosea c uniambie arif.....