Majina ya walioshindwa TCU!!

Gregory93

Member
Joined
Jul 1, 2012
Posts
17
Reaction score
2
mbona kwenye profile nyingine kama ya rafiki yangu kunazo selections zote alizochagua kwangu hamna kitu kama hicho nashindwa kuelewa tcu wanamaanisha nini kwa ambao selection status zetu hazipo sasa sijui kwa ambao za kwetu hazionekaniki ndo tuombe second chance or........????:A S 465:
 

ndo ivyo kaka nyie ndo wa second applictn kwangu mimi mambo yana display fresh hata ile view my selection isharudi.!
 
Haina shida hata yangu ilikua hivyo ila imerudi mida hii.....ni matatizo 2 ya kiufundi.
 
daaa yan hata mi nmelogin ryt now imekubali kuonesha kila kitu yan hawa watu cjui wko vp
 
hapana mkuu mimi ilikua hivyo nikawapigia wamesema nicheki kesho

mkuu mambo yako pouwa bt kuna haka ka toolbar kanakosema 2nd round applctn kana nipa wasiwasi embu jaribu kuingia tena uone
 
Kila mtu hako kasehemu kasecond application kapo.
 
Sasa me nashindwa kuelewa post wanatoa TCU AMA website gani naomba msaada hapo waungwana
 
Jana ulikuwa addmited! leo Iam not addmtted... sawa tu kwa sasabu mi jana sikuwa admitted
 
Kwa habari za kutoka jikoni ni kuwa wale walioshindwa kudahiriwa na tume ya vyuo vikuu majina yatakuwa kwenye mtandao baada ya saa 1. Stay tuned.
Onyo: usinitukane, wait and see! Au piga tcu kupitia 0712722684
 
Kwa habari za kutoka jikoni ni kuwa wale walioshindwa kudahiriwa na tume ya vyuo vikuu majina yatakuwa kwenye mtandao baada ya saa 1. Stay tuned.
Onyo: usinitukane, wait and see! Au piga tcu kupitia 0712722684

Asante kwa taarifa mkuu
 
Nilishaambiwa ''You Are Admitted'' so sina wasiwasi ukizingatia matokeo yangu basi raha utamu. Pia thanks kwa taarifa.
 
Kwa habari za kutoka jikoni ni kuwa wale walioshindwa kudahiriwa na tume ya vyuo vikuu majina yatakuwa kwenye mtandao baada ya saa 1. Stay tuned. Onyo: usinitukane, wait and see! Au piga tcu kupitia 0712722684
saa moja ya kiswahili au inamaana saa saba mkuu..
 
hawa ni walw wale tu hamna jipya!!!
 
ka inawezekana kutoa majina ya walioshindwa usahir je walioshnda inashndikana nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…