Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nenda Ukurasani X utayaonaYako wapi ? Hivi wanalipwa ?
huyu anafahamika ni chuma cha mkono wa mwamba wa kaskazini ambae inafahamika bayana hata mtoa hoja unamkubali kiana huyo mwamba au sio πJina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.
Dickson Lucas Matata
Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.
===
Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .
Taarifa haiwezi kuwa halali ikiwa haikufika JFTumeshayapata Kitambo sana kwa kamanda Pambalu π
Tunakushukuru kwa kuifuatilia ChademaYameanzaje kuwekwa hadharani mara ya pili wakati mimi nimetumwa majina yoote kwa kanda zote? Kweli Upo nyuma sana ndugu yangu na rafiki yangu Erythrocyte. Mimi ninayo yote na kila kitu ila sijataka kuandika wala kuingilia jambo hilo.
Nchi IMEZIZIMA....Tunakushukuru kwa kuifuatilia Chadema
HakikaNchi IMEZIZIMA....
Hata Mimi nimemshangaa πYameanzaje kuwekwa hadharani mara ya pili wakati mimi nimetumwa majina yoote kwa kanda zote? Kweli Upo nyuma sana ndugu yangu na rafiki yangu Erythrocyte. Mimi ninayo yote na kila kitu ila sijataka kuandika wala kuingilia jambo hilo.
Unadhani orodha ya Wagombea imeratibiwa wapi?!Lumumba wamejikunyata upenuni macho na masikio Kinondoni
Kinondoni kufanya nini wakati taarifa zote zipo kiganjani Mwetu juu ya majina yote yaliyopitishwa katika kanda zote Tangia muda tu? CCM ipo mbele ya wakati. Hata ningetaka kuyaweka hadharani humu jukwaani ningefanya hivyo lakini mimi huwa sikurupuki kwa kila jambo.Lumumba wamejikunyata upenuni macho na masikio Kinondoni
Tunawashukuru kwa kutufuatiliaHata Mimi nimemshangaa π
Utushukuru kwa kuratibu kikao πTunawashukuru kwa kutufuatilia
Hayo maneno hata kwenye khanga za KTM yapoUtushukuru kwa kuratibu kikao π