Majina ya Wanafunzi wa Kidato Cha Sita Na Vikos Vya Jeshi la Kujenga la Kujenga Taifai Walivyopangwa

poah mkuu,lakini jaribu kuingia hapo maswayetu.blogspot.com

Mlale songea hayapo, wanapeleka moja kwa moja kwenye website ya jkt pia majina ya mtabira kigoma yanaonesha wanafunzi wanaoenda Ruvu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
According ti JKT majina yamekosewa na pia yana postiwa upya kwenye www.jkt.go.tz sio ndani ya muda mfupi kwasababu ya kuwepo kwa kambi ambazo zimewekewa majina mengi kulingana na uwezo wake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…